You are here
Back to topMikono ya Gondi (Paperback)
$11.00
Special Order - may be out of print. We may be able to order used copies. The condition and prices will vary.
Description
Mikono ya Gondi ni kimoja cha vitabu vya hadithi katika
msururu wa Little Birds ECDE kinachoangazia hadithi za mbinu
za kuishi. Kimetungwa ili kuwasaidia watoto kujifunza usafi.
Yaliyomo ni pamoja na jinsi ya kutumia choo vyema, kunawa
mikono unapotoka chooni na matumizi mema ya hanchifu.
Lengo la msururu huu ni kuhimiza usomaji miongoni mwa
watoto. Msamiati uliotumiwa kuandika hadithi hizi ni rahisi na
wa kawaida. Picha na michoro maridadi na ya kupendeza
imetumiwa ambayo inaifanya hadithi iwe ya kupendeza na
kufurahisha. Hii itasaidia kuwachochea watoto kujadili
yaliyomo wanaposoma.